Thursday, July 18, 2013

AUDIOS - PNC HARUDI KWA KASI AACHIA NGOMA MBILI KWA PAMOJA


Mkali katika gemu hapa Tanzania aliyewahi kutingisha na bado anaendelea kutingisha katika gemu la Bongo Flava mkali kutoka Mwanza PNC sasa amerudi tena kwa kasi na ngoma mbili kali akidhihirisha kwamba yeye ni msanii ambae hawezi kupotea na kipaji ni chake alichopewa na Mungu. Mkali huyo ambae yuko chini ya kampuni ya Mtanashati iliyo chini ya Juma na Musoma ameachia ngoma mbili, moja inatwa "Wewe" na nyingine inaitwa "Kaolewe benki" aliyowashirikisha wakali wawili katika gemu Juma Nature na Dogo Janja..Sikiliza ngoma hizo hapo chini..Big up yourself PNC.

Take care