@Regrann from @realjaype - @Regrann from @iamtjan - Pls lets not forget to donate something for Daniel.. It's not a project! It's a cause that is personal to his family and myself and also everyone... Daniel is currently on a potential donor list in India and we can do more and do better guys ! I understand the importance of giving so much cos I have known what it felt like to want something and not have it... You can fund Daniel here https://www.gofundme.com/29ume2ng Or Donate to #GiveDanielAHeart FCMB - USUANLELE DANIEL OSAYANDE FCMB 3469556012 #GiveDanielAHeart Your Prayers and Donations Go a long way Dear Nigerian. #TeamDaniel #Regrann - #regrann
Tuesday, September 20, 2016
Tuesday, September 6, 2016
TANGAZA HAPA BUREEEE
Je umewahi kufikiri kabisa wapo vijana kwa ajili ya kusaidiana basi karibu katika tovuti hii.
Hipo kwa ajili ya vijana wote kujitangaza kwa kazi zao buree,pengine hata pasipo kujuwa mtu husika.
Umenielewa sasa wewe jitangaze popote kwani ndio muda wako.
KUTANA NA MALILA AU MALILERLOVEDEJO ANAE JIKUBALI KULIKO UNAVYO FIKIRI
Marafiki ndio chanzo pengine tukashindwa kuaminiana..
Unaweza ukawaamini kufanya nao kazi waka kudondosha..
Kutana na malila machim peter au @Malilerlovedejo kijana mwanaharakati na mfanyaji wa kazi za sanaa pia ni mwanamitindo.
Niliamini rafiki zangu kupitia walivyo kuwa navyo yani ujuzi kufanya nao kazi nao na waka mdondosha.
Alitaka blog yake tu itengenezwe iwe nzuri tu.. akahamua ampe dili rafiki yake bado still akuweza kumtimizia ndoto yake ikiwa ni rafiki wapili kumpatia iliaweze kusaidia pia kutangaza, vipaji vya vijana na rafiki zake.
Achana na izo tu kwa uchache hata biashara alizo fanya na marafiki zake na kuhamini pia walimdondosha..
Amebaki na ndoto na Harakati zake mwenyewe na hakiamini katika yeye mwenyewe. kuwatangaza bila gharama yeyote na kuwa na imani kwa vijana wenzake wanaweza.
Kijana huyu anasema anajiamini yeye tu.. katika kutengeneza mtazamo chanya kupitia mitandao ya kijamii na anaona matunda yake.
Huyo ndio malila machim au muhite Lovedejo.. "anasema kidogo kibaya ..kutokujua pia ni nyenzo ya mafanikio.na jikubali Mimi tu.