Marafiki ndio chanzo pengine tukashindwa kuaminiana..
Unaweza ukawaamini kufanya nao kazi waka kudondosha..
Kutana na malila machim peter au @Malilerlovedejo kijana mwanaharakati na mfanyaji wa kazi za sanaa pia ni mwanamitindo.
Niliamini rafiki zangu kupitia walivyo kuwa navyo yani ujuzi kufanya nao kazi nao na waka mdondosha.
Alitaka blog yake tu itengenezwe iwe nzuri tu.. akahamua ampe dili rafiki yake bado still akuweza kumtimizia ndoto yake ikiwa ni rafiki wapili kumpatia iliaweze kusaidia pia kutangaza, vipaji vya vijana na rafiki zake.
Achana na izo tu kwa uchache hata biashara alizo fanya na marafiki zake na kuhamini pia walimdondosha..
Amebaki na ndoto na Harakati zake mwenyewe na hakiamini katika yeye mwenyewe. kuwatangaza bila gharama yeyote na kuwa na imani kwa vijana wenzake wanaweza.
Kijana huyu anasema anajiamini yeye tu.. katika kutengeneza mtazamo chanya kupitia mitandao ya kijamii na anaona matunda yake.
Huyo ndio malila machim au muhite Lovedejo.. "anasema kidogo kibaya ..kutokujua pia ni nyenzo ya mafanikio.na jikubali Mimi tu.
No comments:
Post a Comment