Friday, August 5, 2016

LISSU AFIKISHWA TENA MAHAKAMANI

Dar es Salaam. Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu amefikisha Mahakamani  ya Kisutu saa  8. 46  huku mahakamani hapo kukiwa na ulinzi mkali.

Ulinzi umeimarishwa katika mahakamani hapo muda mrefu wakati wakimsubiria Lissu akitokea katika kituo cha polisi kanda maalumu.

Polisi wapatao tisa baadhi ya wakiwa na silaha  wametanda katika eneo la mbele la mahakama hiyo.

No comments:

Post a Comment