Monday, August 1, 2016

JIFUNZE WEWE MWANAMKE ULIYE SINGLE.

Tambua lengo lako kabla hujaingia kwenye ndoa.

Fanya biashara yoyote, tafuta shughuli ya kufanya.

Usimsubiri mwanaume ndio useme unaanza maisha.

Ongeza thamani ya maisha yako kwa kujenga maisha yako.

No comments:

Post a Comment