Mkuu wa wilaya ya Tunduru mh Juma Zuberi Homera ametimiza ahadi yake aliyotoa mara baada ya kuteuliwa na kulitembelea gereza la Tunduru kuwa atawapa wafungwa Runinga(TV) ili waweze kuona habari mbalimbali kwani ni haki yao kikatiba
Na TV yenyewe ndio hiyo hapo kama inavyo onekana katika picha
No comments:
Post a Comment