MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA:
1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako
3. Huwezi kupumua kwa Pua na huku umetoa Ulimi
4. Unajaribu kufanya namba 3
6. Umeona inawezekana, sanasana unakuwa Kama Jibwa
7. Unatabasamu kwa kuwa umejiona Mjinga!
8. Umeruka namba
9. Unahakikisha Kama kweli 5 haipo.
10. Unacheka kwa kuwa nimekubamba!
Shea na wenzako na wewe uwabambe! 😆😆😆😆😆
No comments:
Post a Comment