Saturday, October 3, 2015

NIMEKUBAMBA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA: 1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni 2. Huwezi kuhesabu Nywele zako 3. Huwezi kupumua kwa Pua na huku umetoa Ulimi 4. Unajaribu kufanya namba 3 6. Umeona inawezekana, sanasana unakuwa Kama Jibwa 7. Unatabasamu kwa kuwa umejiona Mjinga! 8. Umeruka namba 9. Unahakikisha Kama kweli 5 haipo. 10. Unacheka kwa kuwa nimekubamba! Shea na wenzako na wewe uwabambe! 😆😆😆😆😆

No comments:

Post a Comment