Thursday, May 26, 2016

TAS MOROGORO INATOA PONGEZI KWA WAZAZI, WENYE WATOTO WALIO NA HALI YA ALIBINO.

Kuhusu utunzaji bora wa mtoto mwenye ualbino nimuhimu sana mfano mzuri ni dadaetu Hawa Hassan tulimpatia Elimu ya ufahamu kusu malezi bora ya mtoto wake Wema.

Na leo mtoto huyu amekuwa kivutio kwakila mtu jinsi muonekano wa mtoto Wema anavyo onekana.

Hongera sana mama Wema na wazazi wengine kwa kutusikiliza ushauri wetu ambao umepelekea Wema Kuwa na afya bora ya ngozi.

Alisema mwenyekiti wa chama cha watu wenye ualibino mkoa wa morogoro Bw.Hassan mikazi.

KANSA KWA WATU WENYE UALIBINO INAWEZEKANA

Kama wazazi na walezi watapatiwa Elimu ya kumtunza mtoto mwenye ualbino tatizo la saratani ya ngozi kwa watu wenye ualbino litapungua sana.

Nimuda muafaka sasa kwa wadau na serikali kutoa kuwapatia sunscreen lotion kwakila mtu mwenye ualbino ili kupunguza saratani ya ngozi kwa watu wenye ualbino hususan watoto.

Mkoa wa Morogoro unakadiriwa kuwa na watu wenye ualbino zaidi ya 15,000 wengiwao wanaishi vijijini na hawapatiwi vifaa tiba wala vifaakinga kama sunscreen lotion hali inayopelekea kuasirika na tatizo la saratani ya ngozi

BREAKING NEWZZ...

DIAMOND ÑA ALIKIBA WAPIGANA STUDIO

Wakiwa ndani ya studio ya Burn Records inayomilikiwa na 'chalii' Shedy Clever usiku msanii Diamond na hasimu wake mkubwa katika gemu la Bongofleva Alikiba..kulitokea mabishano makali kati ya wasanii hao hali iliyomnyima moyo wa subira Diamond na kujikuta akimrushia ngumi msanii mwenzake Alikiba...

Muda mchache uliopita inasemekana kwamba producer Shedy Clever aliwapigià simu wasanii hao akiwataka waende studio kwake kwa ajili ya kuwasikilizisha 'beats' alizoziandaa kwa ajili yao...
Katika hali ambayo kila mmoja hakutegemea kumkuta mwenzake studio hapo ilimpa wakati mgumu producer shedy baada ya wasanii hao kujikuta wakivutiwa na beat moja na kila mmoja alihitaji kulichukua kwa ajili ya kulitumia...
Wakati wakiendelea kugombea beat hilo walijikuta wakirushiana ngumi hali iliyopelekea kuvunjika kwa Computer ya studio humo...
Baada ya ugomvi kuwa mkali Shedy clever aliamua kupiga simu polisi na baada ya polisi kufika waliwakamata wasanii hao na kuwapeleka kituoni kwa mahojiano zaidi.....
                *     *      *
*JAMANIEEE NIKO FIELD NAJIFUNZA KUANDIKA HABARI ZA UDAKU......"*

Tuesday, May 24, 2016

ULIKUWA UJUI CHUKUWA HIYO

  ����������������������������������������
1. Kama upo SINGLE na umekazana kusema "SIAMINI MTU KATIKA MAPENZI" kumbuka rafiki zako wanaoa na kuolewa kila siku. Acha mawazo hasi omba Mungu akujalie mwenza wa maisha ambae unaendana nae.

2. Kama upo ndani ya ndoa na umekazana kusema "NAICHUKIA HII NDOA" huoni wanandoa wengine ambao wanasheherekea jubilei ya miaka 20 ya ndoa zao?  Omba Mungu aiponye ndoa yako.

3. Kama umekazana kusema "NAMWACHA MUME WANGU, KWANI ANANISALITI" tafadhali hebu nenda mjini pita maeneo ya Kona Bar, Kimboka na maeneo kama hayo uone wanawake malaya wenye uchu ambao wanamsubiri kwa hamu mumeo wamchune vizuri ambao kwao hawajali haya ku share mwanaume. Omba Mungu aitengeneze ndoa yako.

4. Usikazane kusema "NAICHUKIA KAZI YANGU" angalia maelfu ya vijana ambao hawana ajira wanazunguka kila siku na mabahasha maofisini! Vipi unataka kujiunga nao? Kuwa na shukrani!

5. Umekazana kusema unapachukia unapoishi, tafadhali sana nenda kawatembelee watoto wa mitaani uone mazingira magumu wanayoishi! Mshukuru Mungu walau unalala hata kwenye godoro.

6. Wengine husema "NIMECHOKA NA HAYA MAISHA" sawa nenda mahospitalini na uone watu wanavyopigania maisha yao, nenda mochwari na utizame na uniambie unafikiri nini! Cha Mihimu ni kushukuru Mungu

HEBU NISIKILIZE KWA MAKINI..... Kutambua thamani ya miaka minne au mitatu, muulize mhitimu wa chuo kikuu

Kutambua thamani ya mwaka mmoja, muulize mwanafunzi aliyefeli mtihani wake wa mwisho, kutambua umuhimu wa miezi tisa muulize mama aliejifungua mtoto aliye njiti!

Kutambua thamani ya wiki moja muulize mhariri wa gazeti linalotoka kila wiki.

Kutambua thamani ya dakika moja muulize abiria aliyechelewa safari ya ndege, basi au treni.

Na kutambua thamani ya sekunde muulize mtu yeyote aliyenusurika katika ajali!

Furahia kila dakika ambayo mwenyezi Mungu amekupa kuendelea kuvuta pumzi yake! Acha kulalamika maisha ni jinsi wewe unavyoishi!

Kama upo hai mpaka leo shukuru kwa kusema "ASANTE MUNGU"

Share it with your friend

Monday, May 23, 2016

KASHIFA YA CHINA NA NYAMA ZA BINADAMU WAFU

CHINA YAKANA KUUZA NYAMA YA BINADAMU AFRIKA
Wizara ya maswala ya kigeni nchini China imekana ripoti kwamba kampuni za chakula nchini humo zinaweka nyama ya binaadamu na kuuza barani Afrika kama nyama ya ng'ombe.

Chombo cha habari nchini humo Xhinua kimesema kuwa jarida moja nchini Zambia lilimnukuu kimakosa mwanamke mmoja ambaye hakutajwa anayeishi China.

Alisema kuwa kampuni za China zilikuwa zikichukua miili ya wafu kuitia katika viungo na kuiweka katika mikebe.

Msemaji wa China Hong Lei amesema kuwa ripoti hizo hazina uwajibikaji.

Balozi wa China nchini Zambia,Yang Youming ,amesema kuwa ripoti hizo zililenga kuharibu uhusiano mzuri kati ya mataifa hayo mawili. ''Leo jarida moja linasambaza uvumi ,likidai China inatumia nyama ya binaadamu ambayo uihifadhi katika mikebe na kuiuza Afrika. ''Hii ni dhulma ya makusudi ambayo haiwezi kukubalika kabisa kwetu sisi''.
#BBC

WANAWAKE NI TATIZO HILI

WANAUME TUSHIRIKI KATIKA SALA HII YA KUWAOMBEA WANAWAKE ...

1. Atakua na simu yake mpo nyumbani dakika hiyo anakwambia umbip hajui kaiweka wapi.
- Tuhurumie Baba

2. Ana Nguo zimejaa makabati mawili lakini hajui avae nini ukimwambia mtoke!
- Baba, ni magumu kwetu mambo haya.

3. Anakasirika ukikosa kumtumia text ya good night lakini yeye akikosa wewe inabidi uwe muelewa!
- Tuwaeleweje, Baba?

4. Ana viatu zaidi ya pea 50 lakini hana viatu vya kuvaa vya kwenda ibadani.
- Mungu uwasamehe

5. Akianza kuvaa saa moja atamaliza saa tano muda wote inabidi umsubiri tu.
- Si kupenda kwao Baba ila nasi yanatushinda Bwana

6. Akienda saloon anakaa kuanzia asubuhi mpaka jioni na huna budi kumsubiri na usilalamike.
- Mungu wetu, tupe moyo wa kuyahimili haya

7. Ana mafuta tofauti ya kujipaka mikono, shingo, kisogo, miguu, mpaka kisigino! Hata Mdomoni
- Ee Mungu ni Wewe uyajuaye mateso tuyapitiayo Baba

8. Mnaachana asubuhi akiwa na furaha, na ukirudi jioni amenuna hataki hata kukusalamia na ukiuliza tu balaa.
- Tupe uvumilivu ee Bwana!

9. Anajaribu ku match nguo na hereni na akiona hazifanani abadili nguo sababu tu ya hereni.
- Teremka uwashike mikono yao baba..

10. Mkitembea barabarani inabidi ukae upande wa barabara eti wewe ni mwanaume ukigongwa na gari haina noma.
- Eeh baba tuepushe na Hiki kikombe ulisema hawa ni wasaidizi wetu lakini tumekuja kuwa wafanyakazi wao.

Amen!!!!!!!!!!

JIFUNZE EWE MWANAMKE


1. Usikimbilie kuhama na kuondoka nyumbani kwa wazazi wako kabla hujajipanga vizuri.

2. Usimsubiri mwanaume ndio uanze maisha, unaweza ukaishi maisha yako mwenyewe na ukaweka msingi mzuri utakaokusaidia huko baadae.

3. Kaa mbali na marafiki waovu, jifunze kuheshimu kila mtu kuwa na busara na vaa mavazi ya heshima.

4. Usimchekee chekee kila mwanaume, kwa maana wengine sio waoaji ni chui waliojivika ngozi ya kondoo! Ni bora ukaendelea kuabki single kuliko uje kuolewa na mtu ambaye atakufanya ujute maisha yako yote hapa duniani. Omba Mungu akupe busara na ustahimilivu.

5. Jijengee tabia ya kula kwa afya, siku zote jitahidi ule milo yote mitatu acha kula biscuit na soda, usipendelee chips na mishkaki na vyakula vya aina hiyo. Fanya mazoezi mepesi kuuweka mwili wako uendelee kuwa mzuri wa kuvutia. Wewe ni tunu kwa mume wako mtarajiwa au uliyenae.

6. Vaa kwa heshima, watu watakujaji kulingana na jinsi tu ulovyovaa hata maongezi yao yataegemea kutokana na uvaaji wako.

7. Usitumie SEX kama njia ya kujihakikishia Mapenzi. Kufanya mapenzi sio tiketi ya kupendwa. Ata SEX na wewe na atakuacha kwenye mataa ya ubungo junction.

8. Usiolewe nae kwa vile ana pesa za kutosha na ni tajiri kwa sababu karibuni tu na wewe utakua moja ya mali anazomiliki.

8. Jiongezee thamani, get a career! Usiwe mpumbavu kufikiri mwanaume ndio atasuluhisha matatizo yako yote. Jibidiishe kwa kazi zako binafsi hakuna raha juu ya kuwa na maamuzi ya kutumia kile kipato ulichokipata kwa jasho lako.

10. Wewe ni wa muhimu mno, una thamani kubwa sana! Jipende jiheshimu, jijali. Usijali umetendwa na wangapi katika mahusiano! Usikate tamaa jiweke vizuri. Ishi maisha yako. Hayo unayopitia ni funzo tu ktk maisha.

Above all, Remember this, Charm is deceitful, and beauty is vain: but a woman that fears the LORD, she shall be respected.

MUNGU AWABARIKI WANAWAKE WOTE ULIMWENGUNI, ABARIKI KAZI ZA MIKONO YENU NA SIO KAZI ZA MAUNGO YENU. NINYI NI WA THAMANI MNO.

Sunday, May 22, 2016

KIONGOZI WA TALIBAN AUAWA PAKISTAN

Kamanda mmoja mkuu nchini Afghanistan amethibitisha kuwa kiongozi mkuu wa wapiganaji wa kundi la Taliban, Mullah Akhtar Mansour, ameuwawa.
Mullah Abdul Rauf, ambaye majuzi alipatana tena na Mansour, baada ya kukosana aliponyimwa nafasi ya kuliongoza kundi hilo la wapiganaji, ameliambia shirika la Associated Press kuwa, Mansour aliuwawa siku ya Ijumaa kwa shambulio lililotekelezwa na Marekani mpakani mwa Afghanistan na Pakistan.
Inasemekana kuwa Rais Barack Obama aliidhinisha shambulio hilo mapema.
Serikali ya Afghan na Pakistani, zinasema kuwa hazikufahamishwa kuhusiana na shambulio hilo. #Regrann

ZIFUATAZO NI AINA SABA  ZA BUSU NA MAANA ZAKE

Butterfly kiss;

Hapa unambusu mwenza wako ukiwa kwenye zero distance, fungua kope zako polepole huku ukigusanisha kwenye shavu lake. Busu hili hutoa mtekenyo wenye kusisimua kwenye shavu.

Eskimo kiss

Huku mpo distance zero na mpenzi wako sugua pua yako kwenye pua yake kama sekunde 10 hivi, raha sana.

Finger kiss

Wakati mmelala wote na mpenzi wako, chukua kidole kimoja cha mkono wake na kibusu kwa kukinyonya.

French kiss

Hili ni busu linalohusisha ulimi wengine huita “soul kiss” kwa sababu uhai na nafsi hupita kwenda kwa mwingine kupitia kupumua kwa kinywa kupitia ulimi “wet”, aina hili la busu huhusisha maeneo yote ya mdomo na husisimua maeneo yote ya mwili.

Fruit kiss

Chukua kipande cha tunda (hasa fruit juice kipande cha nanasi, embe au zabibu) ng’ata nusu na yeye nusu na kunyang’anyana hadi zinavunjika na juice kuteremka midomoni kimahaba zaidi.

Tiger kiss

Kama tiger huku akiwa hajui ukiwa mgongoni mshike na kumbusu kwa kung’ata shingo (angalia usije muumiza mimi simo nazungumzia kung’ata kimahaba).

Earlobe Kiss

Polepole ingiza ulimi kwenye masikio na kuyanyonya, usifanye kwa kusababisha sauti sana kwani masikio ni sensitive sana kwa sauti.

Sikitiko La Mahaba Linashinda Msiba!

Hujaumia Subiri Usimuliwe!

Moyo Unapouma Kwa Sababu Ya Mapenzi Hakuna Kitu Cha Kupoza. Unaweza Kunywa Pombe Na Usilewe, Ukabugia Dawa Za Usingizi Na Usilale.
Kifua Kinajaa Na Kwa Sababu Inaathiri Mfumo Wa Upumuaji Na Mapafu Nayo Huingia Katika Maumivu.
Sikitiko La Mahaba Ni Hatari, Likikufika Utapungua Uzito Kwa Kasi Bila Maelezo Ya Ziada.

Chakula Hakiwezi Kupita Na Macho Yanaweza Kujaa Machozi Ilhali Unatamani Kujizuia. Binadamu Tumetofautiana, Wapo Wanaotamani Kupendwa Lakini Wengine Wanawacheza Shere Wanaowapenda.
Dawa Kuu Ni Kujihadhari Na Watu Wasio Na Mapenzi Ya Dhati.

Kuwaepuka Kadiri Inavyowezekana.

Ni Mzuri Na Anakuvutia Lakini Heri Umuone Kwa Mbali Kwa Sababu Ukimjaza Moyoni Atakusumbua.
Atakutoa Machozi Katika Eneo Ambalo Ulihitaji Kufurahi.
Maumivu Yako Hata Yajali Kwa Sababu Hana Hisia Na Wewe.

Atakusaliti Bila Woga Kwa Maana Hana Hofu Yoyote Juu Yako.
Itakuwa Ngumu Kumuacha, Vilevile Utaona Uamuzi Wowote Wa Kutengana Naye Ni Mateso Makubwa Kwamba Heri Uumie Ukiwa Naye Kuliko Kuachana.

Usijidanganye Ndugu Yangu, Wewe Ni Binadamu Uliyekamilika, Kwa Hiyo Usitarajie Mtu Wa Pili Au Wa Tatu Anaweza Kusikia Kile Kinachokuuma Moyoni.

Mateso Yaliyopo Ndani Yako Unayajua Mwenyewe, Kwa Hiyo Unatakiwa Kuwa Wa Kwanza Kujihurumia Na Kuchukua Uamuzi Wa Kujiokoa Na Mateso.

Kuna Kitu Kimoja Ambacho Unatakiwa Kukifahamu; Binadamu Ni Wa Ajabu Sana, Watayajua Yako Ya Siri Na Kile Ambacho Mwenzi Wako Anakifanya Pembeni, Lakini Hawakwambii Badala Yake Wataketi Pembeni Kuzungumza. “Aah Yule Wa Ajabu, Anadhani Kapata Mpenzi Kumbe Kapatikana!”

Wengine Utakaa Nao Meza Moja Kushauriana Mambo Mbalimbali, Lakini Anayekwambia Umvumilie Mwenzi Wako Licha Ya Vitimbi Anavyokufanyia, Ndiyo Huyo Huyo Akikaa Pembeni Na Watu Anawaambia Kwa Mtindo Wa Kukucheka Kwamba Unamng’ang’ania Mpenzi Bomu.

Lingine Ni Kuwa Unapokuwa Na Mpenzi Ambaye Hakuheshimu, Thamani Yako Katika Jamii Inashuka.
Kukuheshimu Si Mpaka Akutukane, Bali Vitendo Vyake. Kutoka Na Wapenzi Wengine, Kujenga Mazoea Na Watu Wa Jinsia Nyingine Kiasi Kwamba Mpaka Anahusishwa Kwamba Ni Wapenzi Wake.

Mathalan, Mpenzi Wako Anakuwa Na Urafiki Na Watu Mpaka Anafikiriwa Anatembea Nao.
Hii Ni Tabia Mbaya Na Haikubaliki, Ingawa Wapo Wazuri Wa Kutetea. Watasema, Sisi Ni Washkaji Ila Fahamu Mapenzi Yenu Yanazikutanisha Familia Mbili. Una Ndugu, Marafiki, Wazazi.

Inakuaje Mpenzi Wako Anahisiwa Anatoka Na Mwanamke Mwingine Na Taarifa Zinafika Mpaka Kwa Wazazi Wako? Watajua Mkwe Wao Ni Kicheche Na Hilo Litakugharimu Kwa Kiasi Kikubwa.

Unatakiwa Kulinda Thamani, Heshima Na Utu Wako, Kwa Hiyo Achana Na Mtu Asiyejua Maana!
Unaweza Kuona Leo Inakuuma Kwa Sababu Unaepukana Na Mtu Ambaye Unampenda Lakini Hiyo Ni Nafuu Kwako Kesho.
Amini Kwamba Mwisho Wa Mateso Hayo Ya Moyo Ni Furaha Kubwa, Mwisho Utajiuliza:

Ni Kipi Kilichokuwa Kinakufanya Uumie Kwa Muda Wote? Upo Huru Sasa!
Mapenzi Maana Yake Utulivu Wa Moyo, Yaani Wewe Na Mtu Wako Spesho Muogelee Katika Dimbwi Maalum, Ninyi Wote Mkiwa Na Amani.

Mkishirikiana Katika Hali Zote. Inakuwa Hakuna Anayewaza La Kwake Peke Yake Isipokuwa Kwa Ajili Yenu.
Ukilia Anakuwa Wa Kwanza Kukubembeleza, Anapogundua Amekuudhi Ni Mwepesi Kukuomba Msamaha.
Anasoma Mabadiliko Yako Na Kukuuliza Kile Kinachokusumbua.
Anaficha Siri Zako, Anazungumza Lugha Tamu Na Hisia Zake Zote Zipo Kwako. Kwa Wengine Haoni Hatamani.

USITHUBUTU KULAZIMISHA PENZI

Yamewafika Wengi Na Wameumia, Kwa Hiyo Ni Vizuri Kuwa Makini.
Utauguza Donda La Moyo Lisiloweza Kutibika, Utakonda Wenzako Watakucheka, Atakugeuza Punda Afanye Anachokitaka.
Ni Kazi Bure Kumpenda Mtu Asiyekupenda.
Pamoja Na Maumivu Unayoweza Kuyapata Lakini Kuna Vitu Hivi Lazima Vikukute Kwa Huyo Mwenzi Wako Wa Kulazimisha.

ATAKUTESA KWA UBINAFSI WAKE

Hana Mapenzi Ya Kweli Na Wewe, Kwa Hiyo Si Kila Wakati Atakufikiria.
Kama Hamjawa Kwenye Ndoa Itakusumbua Kwa Sababu Ni Ngumu Kufikiria Kwa Ajili Yenu, Isipokuwa Atawaza Kwa Matilaba Yake. Kama Kuoana, Utalazimisha Wewe Lakini Yeye Hatokuwa Na Habari.

Mkiwa Kwenye Ndoa, Hatojisikia Fahari Kutoka Na Wewe Atalazimisha Maisha Ya Kila Mmoja Kuwa Huru Kufanya Mambo Yake.
Nguo Atanunua Za Kwake Na Hata Siku Moja Hutoona Amekununulia. Wewe Utafanya Mengi Kwa Ajili Yake Lakini Yeye Atabaki Na Ubinafsi Wake.
Atakutesa, Pasha Moto Ubongo!

AKIONA WENGINE ATAHISI NI WAZURI ZAIDI YAKO!

Mtu Huishi Kwa Fikra Zake, Kwa Hiyo Kwa Sababu Hakupendi Kwa Moyo Wake Wote Inakuwa Ngumu Kukukubali, Hivyo Anapokutana Na Watu Wengine Barabarani Atadhani Ni Wazuri Kuliko Wewe. Atababaika Hata Mbele Yako.

Unahitaji Heshima Ya Kiwango Bora Na Kwa Kawaida Mpenzi Wako Anapaswa Kukuona Wewe Ni Mtu Namba Moja.
Kama Hakupi Nafasi Hiyo Maana Yake Anapenda Nusunusu Au Hapendi Kabisa.
Usikaribishe Mateso, Fikiria Kesho, Chukua Uamuzi Leo.

HASIFU MUONEKANO WAKO, ANA LAKE KICHWANI!
Hujiulizi, Kila Siku Anakuona Na Hakusifii! Ni Wazi Kuwa Hata Kama Wewe Ni Mzuri Kiasi Gani, Unavaa Na Kupendeza Kwa Namna Bora Kabisa Lakini Mwenzi Wako Hawezi Kukupa Pongezi Kwa Sababu Ana Lake Kichwani.

Ukiona Hilo Ujue Kwamba Yupo Mtu Ambaye Anamsifu Kwa Sababu Ndiye Anayemkubali, Na Wewe Utasifiwa Na Wengine.
Inauma Mwenzi Wako Kukuacha Nyumbani Na Kwenda Kumwaga Sifa Pembeni, Wakati Na Wewe Unazihitaji.
Una Thamani Kubwa, Pigania Utulivu Wa Moyo Wako!.......

SIVIBAYA UKIMFALIJI MPEZI WAKO KWA MSG NZURI KAMA HIZI

usiku,natamani kukuona,ukijigeuza geuza kitandani,Lakini hayo hayawezekani kwa kuwa tupo mbali.NAKUPENDA DEAR..........

*************
You may think that I forgot you,you may think that I'm not thinking of you,Well you're wrong,you are still in my dreams.
*************
Usiku ni mrefu sana mpenzi wangu ingawa nimezoea joto lako,lakini upo mbali kumbatia mto wako laaziz wangu,ukiupa nafasi yangu.Usiku mwema mpenzi wangu.

*************
Nimekumbuka 50% nimekuwaza 75% nateseka juu yako 80% natamani kukuona 100% nakupenda,amini nakuhitaji speed 190%,huo ni ukweli kutoka moyoni mwangu,I LOVE YOU.
*************
Nimemtuma kipepeo aje akubembeleze kwa upole akupapase na kukuachie marashi mazuri uyapendayo na ukarimu akunong'oneze kuwa nakupenda,JE! Kafika?

*************
Wewe ni asali,nami ni haluwa,pendo letu ni ghali si la kununua,japo upo mbali penzi litachanua.

MATESO KATIKA NDOA/MAHUSIANO....KUFUJWA

Ifuatayo ni habari ya mwanamke ambaye aliwahi kuja kwangu kwa ushauri kuhusu ndoa yeke: Mama Kotilda Mkatah aliolewa mwaka 1980 na mume msomi aliyekuwa na wadhifa mkubwa kwenye taasisi moja ya fedha ya serikali.

Ndoa hii ilifungwa kwa sababu, Kotlida hakuwa na njia, lakini anasema, tangu wakiwa kwenye uchumba, alikuwa tayari na wasiwasi kama ndoa yao ingekuwa ni ya amani. Anasema, wakati bado wachumba, huyo bwana aliwahi kumpiga kibao kwenye kituo cha UDA kwa kosa la kuchelewa kufika kituoni kama walivyokuwa wamekubaliana.

Ndoa ilikuwa ni ya mateso makubwa hata kabla haijafungwa, Mwezi mmoja baada ya ndoa, mume alimwachia mkewe kazi kwa kwenda kufanya fujo ofisini kwa bosi wake kwa madai kuwa bosi huyo alikuwa na uhusiano na mkewe. Kotilda alianza kuishi kwa masharti. Hakuna kutoka, hata kwenda kwa jirani bila kuomba ruhusu na kutoa maelezo marefu kwa nini aende huko.

Kusimangwa, kukosolewa, kuitwa mjinga na mbumbumbu, ikaanza kuwa ni sehemu ya maisha ya mama huyu. Hali iliendelea hivi na kotilda akawa anajiambia, kuna siku hali itabadilika. Lakini, kwa bahati mbaya, hali haikubadilika. Wakati anakuja kwangu, alikuwa ameshaanza kuamini kwamba ni kweli alikuwa anastahili kutendewa vile na mumewe.

Huku ndiko tunakoita kufujwa. Mpenzi mmoja anapomuumiza mwingine kwa kauli zake au kimwili, mara kwa mara, tunasema hapo kuna kufujana.
Mpenzi mmoja anapokuwa na mamlaka aliyojipa dhidi ya uhuru na haki ya mwenzake, tunasema hapoimekuwa kufujana. mara nyingi, wanaofuja ni wanaume. Miongoni mwa matatizo ya ndoa ambayo mtu hashauriwi kuendelea kuyavumilia ni kufujwa. Ndoa ya kufujwa kuna maumivu makubwa ya hisia na mwili.

Ni vizuri hata hivyo, nikasema kwamba, neno kufuja ni mimi ambaye nimelibuni keelezea hali hii, ambapo mtu mwingine angeweza kuita mateso katika ndoa, kuonewa katika ndoa au kutumia istilahi yoyote.
Nimeipenda habari hii nikaona si mbaya nanyi wenzangu msome kwani tusinyimane elimu.
Chanzo: kitabu cha Mapenzi kuchipua na kunyauka na marehemu Munga Tehenan.

Sunday, May 1, 2016

MSEMO WA SIKU

Ukikuwa zaid utaelewa..

maana yake mwanamke kuwa au Fanya utundu wote kwa mumeo ndio wako unaficha nini ..Sio unakuwa mjanja nje zaid kwa michepuko.. aliye olewa kaelewa

SAKAI HII YA MATAKO BANDIA

WAPENDWA AM VERY SORRY KWA PICHA HII LAKINI KUSUDIO LA KUIPOST ON MA PAGE NI KUWAOMBA WAMAMA(WADADA).

KUACHA TABIA YA KUTAKA KUKOSOA MUNGU KUWA HAJUI KUUMBA MAANA WENGINE WANATUMIA MADAWA ILI WAWE NA SHEP NA MAKALIO MAKUBWA WAPAENDWA MWANGALIE DADA YETU DADA(TABU ATHUMANI KATENGA) .

MKAZI WA BONYOKWA MADAWA YALIVYO MFANYA APATE KANSA YA HATARII MTAG MWENZIO Aone  KUMKOSOA MUUMBA faida zake #Malilerlovedejo