Kama wazazi na walezi watapatiwa Elimu ya kumtunza mtoto mwenye ualbino tatizo la saratani ya ngozi kwa watu wenye ualbino litapungua sana.
Nimuda muafaka sasa kwa wadau na serikali kutoa kuwapatia sunscreen lotion kwakila mtu mwenye ualbino ili kupunguza saratani ya ngozi kwa watu wenye ualbino hususan watoto.
Mkoa wa Morogoro unakadiriwa kuwa na watu wenye ualbino zaidi ya 15,000 wengiwao wanaishi vijijini na hawapatiwi vifaa tiba wala vifaakinga kama sunscreen lotion hali inayopelekea kuasirika na tatizo la saratani ya ngozi
No comments:
Post a Comment