Kuhusu utunzaji bora wa mtoto mwenye ualbino nimuhimu sana mfano mzuri ni dadaetu Hawa Hassan tulimpatia Elimu ya ufahamu kusu malezi bora ya mtoto wake Wema.
Na leo mtoto huyu amekuwa kivutio kwakila mtu jinsi muonekano wa mtoto Wema anavyo onekana.
Hongera sana mama Wema na wazazi wengine kwa kutusikiliza ushauri wetu ambao umepelekea Wema Kuwa na afya bora ya ngozi.
Alisema mwenyekiti wa chama cha watu wenye ualibino mkoa wa morogoro Bw.Hassan mikazi.
No comments:
Post a Comment