Thursday, May 26, 2016

BREAKING NEWZZ...

DIAMOND ÑA ALIKIBA WAPIGANA STUDIO

Wakiwa ndani ya studio ya Burn Records inayomilikiwa na 'chalii' Shedy Clever usiku msanii Diamond na hasimu wake mkubwa katika gemu la Bongofleva Alikiba..kulitokea mabishano makali kati ya wasanii hao hali iliyomnyima moyo wa subira Diamond na kujikuta akimrushia ngumi msanii mwenzake Alikiba...

Muda mchache uliopita inasemekana kwamba producer Shedy Clever aliwapigià simu wasanii hao akiwataka waende studio kwake kwa ajili ya kuwasikilizisha 'beats' alizoziandaa kwa ajili yao...
Katika hali ambayo kila mmoja hakutegemea kumkuta mwenzake studio hapo ilimpa wakati mgumu producer shedy baada ya wasanii hao kujikuta wakivutiwa na beat moja na kila mmoja alihitaji kulichukua kwa ajili ya kulitumia...
Wakati wakiendelea kugombea beat hilo walijikuta wakirushiana ngumi hali iliyopelekea kuvunjika kwa Computer ya studio humo...
Baada ya ugomvi kuwa mkali Shedy clever aliamua kupiga simu polisi na baada ya polisi kufika waliwakamata wasanii hao na kuwapeleka kituoni kwa mahojiano zaidi.....
                *     *      *
*JAMANIEEE NIKO FIELD NAJIFUNZA KUANDIKA HABARI ZA UDAKU......"*

No comments:

Post a Comment