*MAISHA YANA VITU 7,*
*1:- Furaha.*
*2:- Karaha.*
*3:- Misukosuko.*
*4:- Majonzi.*
*5:- Migogoro.*
*6:- Mikasa.*
*7:- Chuki.*
*Haya yote husababishwa na viumbe hai kama mimi na wewe, ili kuyashinda haya yakupasa uwe na mambo 4.*
*1:- Subira.*
*2:- Uelewa.*
*3:- Uvumilivu.*
*4:- Msamaha.*
*Lakini katika maisha yako pendelea sana kuwa na mambo 4.*
*1:- Msimamo.*
*2:- Mkweli.*
*3:- Ujasiri.*
*4:- Imani.*
*Ila epuka sana mambo 5.*
*1:- Udanganyifu.*
*2:- Uchoyo.*
*3:- Ubinafsi.*
*4:- Wizi.*
*5:- Kufitinisha.*
*Kumbuka kumjali anaekujali hata kama yupo mbali nawe.*
*Mpende anaekupenda hata kama hana kitu jali utu kuliko kitu.*
*Ibada ndo Nuru yako Duniani na Akhera.*
*Yaarabbi tupe Mwisho Mwemaa!!!*
No comments:
Post a Comment