Sunday, July 31, 2016

BREAKING NEWS.....

Mhe Lembeli amerudi chama kubwa CCM hivi mchana wa leo katika mkutano mkubwa wa Mhe Mwenyekiti wa CCM na rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk John Pombe Joseph Magufuli... Huko mjini Kahama. Anasema haoni sababu ya kwenda na "..safari ya uhakika isiyo na uhakika... kule hamna kitu."


No comments:

Post a Comment