Sunday, July 24, 2016

KIJANA KIONGOZI KWA MIFANO

HUYU NDIO YULE ANAEVAA SUTI NA KUANGAIKIA AU KUELIMISHA KUHUSU ALIBINISIMU@suleimanmagoma

Moja ya sehemu zinazo nipa mkate wa kila siku. Am very grateful to this place and i love my job.. Karibuni HASHTAG SQUARE  tunauza juice ya miwa iliyoandaliwa katika mazingira yanayozingatia Usafi. Utapata  Juice ya Miwa pamoja na bites mbalimbali.
Tunapatikana stendi ya Makumbusho lango la kutokea Magari mkabala na mti wa mbuyu. Karibuni sana mniunge mkono.

Cku mojamoja mtu mzima  nasimamia  mpango mzima mwenyewe.Kuwa na maisha bora c jambo rahisi ni lazima Upige kazi kwelikweli na uwe mbunifu kila kukicha  na kumuomba Allah.. wengi waliofanikiwa wametumia njia hizo. Nawashangaa sana baadhi ya watanzania wenzangu ambao hawataki kufanya kazi  wanaamini eti Kiungo cha Mtu mwenye Albinism kina leta Utajiri. Tuwapuuze watu wenye fikra na mitazamo hiyo na Tuwape Elimu ya kutosha ili waelewe kuwa hamna shotcut katika maisha inabid wajitume katika kufanya kazi zilizo halali. #albinismawarenessfoundation

KARIBUNI sana HASHTAG SQUARE

No comments:

Post a Comment