Sunday, July 24, 2016

TCU YAFUNGIA VYUO VINGINE KUDAHILI.

BAADA ya wiki jana kutangaza orodha ya vyuo ambavyo havitaruhusiwa kudahili Wanafunzi Kwa Mwaka wa Masomo 2016/17, leo Tume hiyo imetoa orodha nyingine ya vyuo ambavyo vimefungiwa kufanya udahili kutokana na sababu mbalimbali. Vyuo vilivyozuiwa kudahili ni pamoja na;

1. Katavi University of Agriculture - Kozi zote.

2. Ekernforde Tanga University - Kozi zote.

3. Hubert Kairuki Memorial University - Kozi ya udaktari.

4. Muslim University of Morogoro - Kozi ya uandishi wa habari na mawasiliano ya umma.

5. St. Joseph University In Tanzania (St.Mark's University College) - Kozi zote.

6. United African University of Tanzania - Kozi zote.

7. Tanzania International University - Kozi zote.

8. Kampala International University, Dar es Salaam College - Kozi ya Sayansi ya Kompyuta.

9. St. Joseph University College of Management and Commerce - Kozi zote.

10. Tumaini University, Dar es Salaam College - Kozi ya uandishi wa habari na mawasiliano ya umma.

12. Stefano Moshi Memorial University College - Kozi zote.

13. Teofilo Kisanji University, Tabora campus - Kozi zote.

14. University of Arusha, Musoma campus - Kozi zote.

15. Mount Meru University, Mwanza campus - Kozi zote.

16. University of Mbeya - Kozi zote.

17. Mzumbe University, Mwanza campus - Kozi zote.

18. Stella Maris Mtwara University College - Kozi zote.

19. ArchBishop James University College - Kozi zote.

20. Mwalimu Julius K. Nyerere University of Science and Technology - Kozi zote.

21. Josiah Kibira University College - Kozi zote.

22. College of Business Education, Mwanza campus - Kozi zote za shahada na shahada na Shahada ya Uzamili.

Kwa taarifa zaidi tembelea
http://www.tcu.go.tz

No comments:

Post a Comment