BAADA ya wiki jana kutangaza orodha ya vyuo ambavyo havitaruhusiwa kudahili Wanafunzi Kwa Mwaka wa Masomo 2016/17, leo Tume hiyo imetoa orodha nyingine ya vyuo ambavyo vimefungiwa kufanya udahili kutokana na sababu mbalimbali. Vyuo vilivyozuiwa kudahili ni pamoja na;
1. Katavi University of Agriculture - Kozi zote.
2. Ekernforde Tanga University - Kozi zote.
3. Hubert Kairuki Memorial University - Kozi ya udaktari.
4. Muslim University of Morogoro - Kozi ya uandishi wa habari na mawasiliano ya umma.
5. St. Joseph University In Tanzania (St.Mark's University College) - Kozi zote.
6. United African University of Tanzania - Kozi zote.
7. Tanzania International University - Kozi zote.
8. Kampala International University, Dar es Salaam College - Kozi ya Sayansi ya Kompyuta.
9. St. Joseph University College of Management and Commerce - Kozi zote.
10. Tumaini University, Dar es Salaam College - Kozi ya uandishi wa habari na mawasiliano ya umma.
12. Stefano Moshi Memorial University College - Kozi zote.
13. Teofilo Kisanji University, Tabora campus - Kozi zote.
14. University of Arusha, Musoma campus - Kozi zote.
15. Mount Meru University, Mwanza campus - Kozi zote.
16. University of Mbeya - Kozi zote.
17. Mzumbe University, Mwanza campus - Kozi zote.
18. Stella Maris Mtwara University College - Kozi zote.
19. ArchBishop James University College - Kozi zote.
20. Mwalimu Julius K. Nyerere University of Science and Technology - Kozi zote.
21. Josiah Kibira University College - Kozi zote.
22. College of Business Education, Mwanza campus - Kozi zote za shahada na shahada na Shahada ya Uzamili.
Kwa taarifa zaidi tembelea
http://www.tcu.go.tz
☝
No comments:
Post a Comment