#ActivistMalilaMachim
Mwanamke mkongwe nchini Zimbabwe, wakati wa maandamano nje ya ukumbi wa baraza la jiji la Bulawayo.
Walikuwa wanaonesha kwamba hawana vyakula vya kutosha kutokana na kudorora kwa uchumi.
Picha/AFP, Getty #bbcswahili #Zimbabwe #mwanamke:
No comments:
Post a Comment