TAARIFA KWA WADAU.
Wadau wote wa TAS MOROGORO.naomba michango yenu ya kifedha ili kumsaidia ndugu yetu Omary ili aweze kwenda hospitari kutibiwa jicho lake.
Naomba kwayeyote atakaeguswa na jambo hili aweze kutoa alicho nacho ili kutimiza kiwango kinacho hitajika ambacho ni LAKI MOJA TU.
Tafadhari tuma mchango wako mojakwamoja kwa muhusika kwa namba yake 0713376426. Ningependa kwa muhusika ndugu omary wote watakao kuchangia tafadhali Taja humu ndani.
KUTOA NI MOYO, LEO KWAKE KESHO KWETU. Asanteni wenu katika ustawi wa watu wenye ualbino.
Hassan S Mikazi
Mwenyekiti TAS Mkoa wa Morogoro.
No comments:
Post a Comment