Asilimia98 ya wanawake wengi wa kiafrika wakiwa na hamu ya mapenzi ni wagumu Sana kueleza hisia zao
Tambua kuwa nibora kufunguka ukiwa na hamu na tendo kuliko kukaa kimya mpaka mwanaume haanze kubuni labda unahitaji au laaah!
Tambua tu kwa mwanamke kueleza hisia zake kuwa yupo nahamu ya tendo. kunaongeza uhaminifu kwa mwanaume nakujua uchepuki mtaa wa pili.
Sasa wewe unakaa tu Kama nyanya iposhamba mpaka uishike ndio ujue imeiva.
Funguka mwanamke kwani uwezo wa kusema unahamu inaonesha.. unalithishwa na penzi na unafurahia.
Funguka by #activistmalilamachim
No comments:
Post a Comment