Wednesday, February 24, 2016

Ngoja nikujuze


Kama wewe mwanamke na ukimaliza kufanya mapenzi .mwanaume wako anakupa pesa jua kakudharau kupitaliza.

Yani wewe na wanaojiuza amnatofauti kwani wote si mnalipwa .

Chukuwa pesa au akusaidie unashida kwa hii wewe unatofauti na machangu doa.

No comments:

Post a Comment