#ActivistMalilaMachim
Kama wewe mwanamke na ukimaliza kufanya mapenzi .mwanaume wako anakupa pesa jua kakudharau kupitaliza.
Yani wewe na wanaojiuza amnatofauti kwani wote si mnalipwa .
Chukuwa pesa au akusaidie unashida kwa hii wewe unatofauti na machangu doa.
No comments:
Post a Comment